Muungano wa Ustaarabu wa Umoja wa Mataifa (UNAOC) inawaalika vijana chini ya umri wa miaka 25 kuwasilisha video walizozitengeneza wenyewe zenye urefu wa dakika 5 juu ya uhamiaji, tofauti na kuingizwa kijamii kwa ajili ya tamasha kubwa la filamu 2014 [1]. Video tatu zitakazoshinda zitazawadiwa Dola za Marekani 1000 na watengenezaji wataalikwa jijini New York kuhudhuria sherehe za tuzo hizo.
Tarehe ya mwisho ya kuwasilisha ni Juni 27, 2014.