Macau: Watu 3,000 Wazunguka Baraza la Wawakilishi Kukwamisha “Muswada wa Walafi”

Oiwan Lam
Christian Bwaya

Asia Mashariki

Zaidi ya waandamanaji 3,000 wakiwa wamekaa je ya Baraza la Wawakilishi kushinikiza kufutwa kwa muswada unaopendekeza masurufu kwa vigogo wa serikali wanaoondoka madarakani, muswada unaofahamika kama “muswada wa walafi”. Picha kutoka kwenye ukurasa wa Facebook wa All about Macau. Kwa matumizi yasiyo ya kibiashara.

Taarifa zaidi zinapatikana kwenyetaarifa yetu ya awali ya GV.