Ili kuepusha mashambulizi ya kemikali [1] yanayowalenga hasa wanawake katika maeneo mbalimbali ya nchi, serikali ya Colombia itaanza kudhibiti [2] [es] mauzo ya rejareja ya kemikali ya ‘chokaa’ na vitu vya kemikali kama salfa, haidrokloriki, mariati, chokaa, naitriki na sodiamu haidroksaidi, katika hali ya kimiminika na vipande
RCN Radio [3] ilitoa taarifa kwenye mtandao wa Twita:
Gobierno alista decreto de reglamentación para venta de ácidos http://t.co/V9ABC4OXvz [4]
— RCN La Radio (@rcnlaradio) Mayo 6, 2014 [5]
Serikali inaandaa amri ya kudhibiti uuzaji wa kudhibitiwa wa kemikali.