7 Mei 2014

Habari kutoka 7 Mei 2014

Caribbean Yajiunga na Kampeni ya #BringBackOurGirls

  7 Mei 2014

Kama watoto wetu wangetoweka tungelipenda dunia yote kusimama na kuja kutusaidia kuwatafuta wao. Sisi … tunauliza kwamba … kwa nini mara nyingi miili ya wanawake huwa uwanja wa vita ambapo vita hupiganiwa. Hili si tatizo ambalo linahusisha mji mdogo nchini Nigeria, ni tatizo la wasichana wote kila mahali. Tillah Willah...

Venezuela: Utata na Mashambulizi Wajadiliwa kwenye Mtandao wa Twita

  7 Mei 2014

Wakitumia alama ashiria #UcabCaracas na #SOSColectivosDelTerrorAtacanUCAB [SOS vikundi vya kigaidi vya mashambulizi UCAB], maoni na picha ya mashambulizi kwa wanafunzi kwenye maandamano ambayo inaonekana yalitokea katika Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Andrés Bello [es] mjini Caracas zimeonyeshwa sana. Miongoni mwa wale wanao twiti ndani ya chuo kikuu hicho, kilchosimamisha shughuli...

Sio Rahisi Ukiwa Mtu Mweusi Nchini Cuba

  7 Mei 2014

Habari mbaya kwa Wa-cuba wenye ngozi nyeusi au yenye mchanganyiko wa weusi na weupe ni kwamba hakuna taasisi huru za kisheria itawalinda kutelekezwa na serikali. Iván anaripoti kuwa watu wasio wazungu bado wanaendelea kubaguliwa nchini Cuba.

Colombia: Kuanguka kwa Mgodi Kwasababisha Vifo na Uharibifu

  7 Mei 2014

Watu wasiopungua watatu walikufa na kati ya watu 25 na 30 wamenaswa baada ya kuanguka kwa mgodi ulikuwa unaendeshwa kinyume cha sheria katika idara ya Cauca, kusini magharibi mwa Colombia, kama ilivyoripotiwa [es] na vyombo vya habari mnamo Alhamisi, Mei 1. HSBNoticias aliarifu kwenye mtandao wa Twita: [FOTOS] [+18] Se...

Trinidad na Tobago : Kutoka Serikali Moja hadi Nyingine

  7 Mei 2014

Nchi yetu haiwezi kuendelea kuuza nje ya nchi kazi zetu, rasilimali yetu, na watu wetu wenye ujuzi kuzifadhili sera za kigeni ambazo hazijachunguzwa wala kuwekwa wazi… Afra Raymond anasema kwamba mipango ya sasa ya serikali kwa serikali ni tisho la moja kwa moja kwa masilahi ya msingi ya Trinidad na...

Naijeria: Kampeni ya #Bringourgirlsback

  Katikati ya mwezi Aprili, zaidi ya wasichana 200 wa shule walitekwa nyara kutoka shule ya sekondari iliyoko eneo la Chibok, Naijeria, kitendo kinachodaiwa kufanywa na Boko Haram, kundi la kigaidi lililoko katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo. Ingawa baadhi ya wasichana 57 wameweza kutoroka, bado wengine wengi wako...