Mother Jones alipakia video [1] ambayo inaiga utupaji mabomu 600 [2] uliofanywa na Marekani nchini Laos kati ya mwaka wa 1965 hadi 1973 wakati wa zama za Vita ya Vietnam.
Video Inayoonyesha jinsi Marekani Iliangusha Mabomu ya Tani Milioni 2.5 Nchini Laos
· Imeandikwa na Mong Palatino Imetafsiriwa na Joyce Maina
Mada za Habari: Asia Mashariki, Laos, Historia, Mahusiano ya Kimataifa, Vita na Migogoro