Mtandao wa Tananews nchini Madagascar umechapisha orodha kamili ya mawaziri 31 wa serikali mpya ya Madagaska [1] [fr]. Mitsangana Madagascar anasema kwamba orodha hiyo ina wanawake 6 na kuwa mawaziri 7 walikuwa kwenye baraza [2][fr] la serikali iliyopita ya mpito. Waziri mkuu wa zamani Beriziky aliitakia serikali kila la heri kwenye mtandao wa Twita:
Passation avec mon sucesseur @kolo_roger [3]. Remerciement à tous les malgaches. #Madagascar [4] pic.twitter.com/90Yxvsf2pC [5]
— Jean-Omer Beriziky (@JOBeriziky) April 16, 2014 [6]
Namuwasilisha Roger Kolo (@kolo_roger) kama waziri mkuu mpya. Shukrani nyingi kwa Malagasies wote #Madagascar