Bob Marley – Ni Mungu Mpya wa Vijana wa Bhutan?

Bob Marley ghafla amegeuka mungu miongoni mwa kizazi kilichochanganyikiwa. bendera ya Rastafari, ikiwa na ama Bob mwenyewe au jani la bangi, inapatikana kokote. Kwa mtu aliyekufa mwaka 1981 na kuendelea kutawala akili za watoto wanaonekana kuwa na akili tena wa karne ya 21 ni jambo gumu kuamini.

Passang Tshering, Mwanablogu wa Bhutan na mwalimu wa kompyuta kwenye Shule ya Sekondari Bajothang, Bhutan, anashangazwa kwa nini Bob Marley anachukuliwa kuwa alama ya vijana wa Kibhutan leo. Badala yake, angependa kuwaona wakitafuta watu 12 ambao picha zao amezitundika kwenye ukuta wa maabara yake ya kompyuta ya shule hiyo

na anashangaa wamewezaje kufanya walichokifanya. Shangaa, Kubali, na Hamasishwa

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.