Habari kutoka 16 Aprili 2014
Blogu ya Tunisia Yazindua Jukwaa la ‘Kuvujisha Taarifa Nyeti’
Blogu ya Tunisia iliyowahi kushinda tuzo iitwayo Nawaat imezindua jukwaa lake la kuvujishia taarifa nyeti: Nawaat Leaks.
Mazungumzo ya GV: Nini Kimewakuta Wanablogu wa Iran?

Huenda kublogu hakujafa, lakini kuko mbioni? Arash Kamangir na Laurent Giacobino wanatuletea utafiti wa kina kuhusu hali ya blogu mashariki ya kati.
Rais Mugabe Anadhani Naijeria Inanuka Ufisadi Kuliko Zimbabwe
"#Mugabe ana ujasiri wa kuiita serikali ya Naijeria kuwa imekithiri ufisadi. Serikali ya Naijeria ina haki ya kijisikia kutukanwa."