Katika mukhtadha wa idadi na ukubwa wa miradi inayotekelezwa kwa kupitia mipango ya serikali ya nchi hiyo, Afra Raymond [1] anaeleza kwa nini ushirika wa kiwango cha juu unaoonyeshwa hivi sasa na Trinidad na Tobago kwa China ni “suala nyeti linalostahili tafakuri ya kina.”
Trinidad na Tobago: Kati ya Serikali Mbili
· Imeandikwa na Janine Mendes-Franco Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Nchi za Caribiani, Trinidad na Tobago, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia, Uchumi na Biashara, Utawala