Mlipuko wa Homa ya Ebola Waua Watu 59 Nchini Guinea

Ebola virus virion via wikimedia Commons -  Public Health Image Library, #10816- public domain

Virusi vinavyosababisha Ebola viitwavyo virion kupitia wikimedia Commons – Picha ya Maktaba ya Afya ya Umma, #10816- kwa matumizi ya umma

Mlipuko wa homa ya Ebola umeua watu wasiopungua 59 nchini Guinea na matukio kadhaa yanayohofiwa kuwa ya homa hiyo yamekaribia kwenye mjini mkuu Conakry hiyo ikimaanisha kuwa ugonjwa huo unaweza kuenea kwenye mji mkuu wa Guinea. Barbara Krief anatoa taarifa za hivi karibuni [fr]:

Au moins huit agents de santé ont été tués à ce jour. En collaboration avec le ministère guinéen de la Santé, l'Unicef a rapidement livré dans les zones les plus affectées cinq tonnes de médicaments et d'équipements médicaux tels que des gants, nattes plastiques, couvertures, protège-nez, et des solutions de réhydratation orale et intraveineuse pour protéger le personnel médical et traiter les malades

Kadri ya wafanya kazi wa afya nane wamepoteza maisha mpaka sasa. Kwa kushirikiana na Wizara ya Afya ya Guinea, UNICEF imepeleka tani tano za madawa na vifaa vya matibabu kama vile glovu za mikononi, vitambaa, mablanketi, vitambaa vya kufunika uso, na maji ya kupunguza upungufu wa maji mwilini kuwalinda wafanyakazi wa afya na kuwatibu wagonjwa.

Hapa kuna video yenye taarifa za namna ya kujilinda na virusi vya Ebola :

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.