Blogu ya PersianBanoo iliripoti [1] kuwa “mwanafunzi mwanaharakati wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Qazvin aliyefukuzwa, Maryam Shafipour amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela. Awali iliripotiwa na familia yake kuwa alikuwa amepigwa na maofisa wa kiume waliokuwa wanamhoji wakati wa kuhojiwa kukiendelea”.
Iran: Mwanafunzi Ahukumiwa Miaka 7 Jela
· Imeandikwa na Farid Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Iran, Maandamano, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia, Uhuru wa Kujieleza, Utawala