-
Waziri wa Utamaduni na Ulinzi wa Uislamu wa Iran, Ali Jannati, alisema [1] “Iran haiwezi kuufungia Mtandao wa Facebook milele.” Maofisa kadhaa wa Iran kama Mohammad Javad Zarif [2], Waziri wa Mambo ya Kigeni, hutumia mitandao ya Twita na Facebook hata wakati tovuti hizo zimefungiwa nchini Iran.
“Iran haiwezi kuufungia Mtandao wa Facebook Milele”
· Imeandikwa na Farid Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Iran, Haki za Binadamu, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia, Uhuru wa Kujieleza, Utawala