Habari kutoka 14 Machi 2014
Shule 2,715 Kuunganishwa na Mtandao wa Intaneti Nairobi
Shule 2,715 jijini Nairobi, Kenya hivi karibuni zitaunganishwa na mtandao wa intaneti wa bure: Wanachi Group [kampuni] imefikia makubaliano ya kutekeleza mradi wa thamani ya Dola za Marekani milioni 3 (Takribani KSh milioni 270) na kaunti ya Nairobi, ili kuunganisha shule 2,715 jijini Nairobi na mtandao wa intaneti. Mradi huo...
Teknolojia ya Kiafrika: Mradi wa TechAfrique Watathmini Hatua Iliyofikiwa
Le continent africain apparaît comme la nouvelle frontière mondiale du développement numérique. Ce développement provoque une nouvelle impulsion entrepreneuriale en Afrique, et notamment en Afrique francophone. Mais ce potentiel reste très largement méconnu en Europe ainsi qu'en France. Bara la Afrika linaonekana kuwa kiongozi mpya wa dunia katika maendeleo ya kidijitali. Maendeleo haya yamesababisha kukua kwa ujasiria...
Tangazo la Shindano la Kupata Ufadhili wa Rising Voices 2014
Rising Voices inatangaza kuzindua shindano la ufadhili wa miradi ya kuwafikiwa watu kwa njia ya uandishi wa kiraia. Waombaji wanaweza kutuma mawazo yao kwenye tovuti na kupata mrejesho kutoka kwenye jamii zao wenyewe, kama namna ya kuboresha maombi yao na kushirikiana na wengine. Tarehe ya mwisho kutuma maombi ni Aprili 9, 2014.