Habari kutoka 7 Machi 2014
Mazungumzo ya GV: Kipi Kinafuata Nchini Ukraine?
Kipi kinafuata kwenye vuguvugu la maaandamano ya Ukraine? Maandamano na umwagaji damu ulisababisha kung'oka kwa rais anayetuhumiwa kuwa fisadi. Lakini sasa, wakati Urusi ikijiandaa kijeshi na Crimea ikifikiria kujitenga, yapo maswali mengi yasiyoisha kuhusu mustakabali wa kisiasa nchini Ukraine pamoja na uhusiano wake na Umoja wa Ulaya.
Mwongozo wa Kilimo cha Uyoga Nchini Kenya
Huu ni mwongozo hatua kwa hatua wa kilimo cha uyoga nchini Kenya: Kutokana na mahitaji ya umma, sisi tulichukua mpango wa kuandaa mwongozo wa kusaidia wakulima wenye nia ya kuanzisha...
Pigia kura Blogu ya Kenya Uipendayo
Zoezi la upigaji kura limeanza kwa ajili ya Tuzo za Blogu nchini Kenya kwa mwaka 2014: Chama cha wanablogu wa Kenya (BAKE) hii leo [3 Machi 2013] kilizindua zoezi la...
Siku 100 Gerezani Bila Mashitaka: Simulizi la Alaa Abd El Fattah
Mwanablogu mashuhuri wa Kimisri Alaa Abd El Fattah amemaliza siku yake ya 100 jela leo pasipo kufunguliwa mashitaka. Tazama video hii kufahamu kuhusu suala lake na mengine zaidi.
Uwakilishi wa Kisiasa: Mapambano ya Raia wenye Asili ya Afrika Waishio Colombia
Ikiwa na idadi ya watu milioni 5, au asilimia 10.6 ya idadi ya watu wote wa nchi hiyo, Colombia ina idadi kubwa zaidi ya watu wenye asili ya Afrika katika...