Harinjaka, mwanzilishi wa mradi wa Habaka na mwanablogu anayeishi Madagaska, ameanzisha Shindano la biashara mpya Antananarivo 2014 [1] [fr] lenye lengo la kuchagua na kuunga mkono wazo la biashara nchini Madagaska. Anaamini kwmaba kuna mustakabali mzuri kwa ujasiriamali na ubunifu [2] [fr] nchini Madagaskari. Hapa unaweza kuona tangazo la tukio hilo[fr] :
Shindano la Kuchochea Uanzishwaji wa Biashara Mpaya Nchini Madagaska
· Imeandikwa na Lova Rakotomalala Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Madagaska, Habari Njema, Mawazo, Teknolojia, Uandishi wa Habari za Kiraia, Uchumi na Biashara