Januari 2, Kimbunga Bejisa kilisababisha uharibifu mkubwa katika kisiwa cha Reunion kilicho chini ya mamlaka ya Ufaransa. Mtu mmoja alifariki na wengine 15 kujeruhiwa vibaya, huku idadi ya nyumba zinazokadiriwa kufikia 82,000 zikiripotiwa kukosa huduma ya nishati ya umeme. Kimbunga hiki kimeshatulia na hali ya hatari imeshatangazwa kisiwani humo. Zifutazo ni picha nyingine zilizopigwa na raia waishio nchini humo:
http://www.youtube.com/watch?v=_mXLMJe7oKM [2]
Video ioneshayo kimbunga Bejisa katika Kisiwa cha Reunion. Video imewekwa na animax2013 katika mtandao wa Youtube.
Les dégâts de #BEJISA [3] à Saint Denis #LaReunion [4] sur notre page facebook. https://t.co/orv7bCfC4k [5] pic.twitter.com/VV9jdkH92B [6]
— Cyclone Ocean Indien (@Cycloneoi) January 3, 2014 [7]
Uharibifu uliofanywa na kimbunga Bejisa katika jiji la Mtakatifu Denis