- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

Uruguay yawa Nchi ya kwanza Kuhalalisha Soko la Bangi

Mada za Habari: Amerika Kusini, Uruguai, Habari za Hivi Punde, Uandishi wa Habari za Kiraia

Baraza la Seneti la Urugwai lilipiga kura 16 kwa 13 kuhalalisha [1] uzalishaji na uuzaji wa bangi. [2]. [3] Rais Mujica anatarajiwa kutia saini sheria, ambayo itakuwa na ufanisi kuanzia mwaka ujao.

Mimi ninaunga kuhalalishwa kwa bangi, lakini itakuwa vizuri kugonga vichwa vya habari duniani kote kwa sababu ya usalama wetu na elimu.

Ignacio de los Reyes, mwanahabari wa BBC Argentina na Southern Cone, alitwiti mnamo Desemba 10:

Stay tuned for more citizen reactions.