Kufuatia mgogoro [1] ambao umeliandama taifa jipya kabisa duniani, Sudan Kusini, tangu Desemba 16, 2013, taifa hillo na marafiki wa watu wa Sudan Kusini wamekuwa wakiendesha kampeni katika mtandao wa twita kwa jila la #MyTribeIsSouthSudan [2] na #iChoosePeace [3] kutoa mwito wa amani na umoja katika nchi hiyo.
Sudan kusini ilipata uhuru Julai 9, 2011 baada ya kura ya maoni ambayo ilifanyika siku ya uhuru kutoka Sudan kupitishwa.
Zifuatazo ni baadhi ya jumbe kwenye mtandao wa Twita kuunga mkono amani na umoja wa kitaifa:
I am no politician, I am not in the army, I don't work for the government, Its just that #iChoosePeace [3] for my motherland #SouthSudan [5]
— إيڤا (@Evalopa) December 20, 2013 [6]
Mimi si mwanasiasa, siko jeshini, sifanyi kazi serikali, ni kwamba ninachagua amani kwa nchi yangu
Praying to an end to the madness.. an end to division-ism.. #africa [7] standing with south sudanese #MTISS [8] #MyTribeIsSouthSudan [2]
— #♥♥♥♥|■| (@Gracetandeamara) December 20, 2013 [9]
Ninaomba kusitishwa kwa kwa hiki kichaa…kusitishwa kwa utengano..tusimame wa wananchi wa Sudani ya Kusini
@zelalemkibret [10] @TameZKafir [11] #MyTribeIsSouthSudan [2] does not mean we are faceless or Tribeless, it means we are one, just South Sudanese.
— إيڤا (@Evalopa) December 20, 2013 [12]
Haimaanishi sisi hatuna makabila, ila tu kwamba sisi ni wamoja, yaani wananchi wa Sudani Kusini
My country & her people & their safety are more important than egos, megalomaniacs & politics. #MyTribeIsSouthSudan [2] #Ichoosepeace [13]
— Aguil Lual Blunt (@AguilB) December 20, 2013 [14]
Nchi yangu na watu wke, usalama wao ni muhimu zaidi kuliko tamaa za kuridhisha nafsi kwa wanasiasa
#MyTribeIsSouthSudan [2] this should be the message. Stop fighting your brother for someone else's political gain
— It's Theö™ (@theoScouse) December 20, 2013 [15]
Huu ndio wapaswa kuwa ujumbe. Acheni kupigana na ndugu zenu kwa ajili ya maslahi ya kisiasa kwa watu fulani
I refuse to start running again, saying NO to another war #Ichoosepeace [13] #MyTribeIsSouthSudan [2] pic.twitter.com/RLJBB3KihN [17]
— إيڤا (@Evalopa) December 20, 2013 [18]
Ninakataa kuanza kumbia kimbia kwa mara nyingine, ninasema HAPANA kwa vita nyingine
We must always remember that the government works for us, not the other way around! Fight for peace. #MyTribeIsSouthSudan [2]
— Atima (@missalier) December 20, 2013 [19]
Tukumbuke siku zote kuwa serikali inatutumikia, na sio kinyume chake! Piganieni amani
after all the years of hurting each other, why do we need to continue doing this? #iChoosePeace [3] #MyTribeIsSouthSudan [2] http://t.co/JN4mvOVaRc [20]
— amanie illfated (@AmanieIllfated) December 20, 2013 [21]
Baada ya miaka yote ya kuumizana, kwa nini tuendelee kufanyiana mambo haya?
War is what divided my Sudan, We don't want it in its South now. I support #MyTribeIsSouthSudan [2] #ichoosePeace [22]
— M.Hamror (@MHamror) December 20, 2013 [23]
Vita ndicho kinachoigawa Sudani yangu, hatutaki vita tena Sudani sasa. Ninaunga mkono kampeni ya Kabila langu ni Sudnai Kusini
About 64 tribes call #SouthSudan [5]
home. #MyTribeIsSouthSudan [2]
and #iChoosePeace [3]
#Juba [24]
#SouthSudan [5]
—
CHRIS KWOJI (@KWOJI) December
21, 2013
Makabila yote 64 yanatoa wito kwamba Kabila Letu ni Sudani Kusini na Ninachagua Amani
War is what divided my Sudan, We don't want it in its South now. I support #MyTribeIsSouthSudan [2] #ichoosePeace [22]
— M.Hamror (@MHamror) December 20, 2013 [23]
Vita ndicho kinachoigaw aSudani yangu, hatutaki hayo yatokee nchini humu sasa. Ninaunga mkono kampeni ya Kabila Langu ni Sudani Kusini na ile ya Ninachagua Amani