Mwanablogu wa Misri Zeinobia anatoa maoni yake machache [1] kuhusu kuibuka tena kwa Sami Anan, Mnadhimu mkuu wa zamani wa Majeshi ya Misri. Je, ana mpango wa kugombea urais?
Mwanahabari wa Sauti za Dunia Mtandaoni Victor Salama anasimulia zaidi [2].