PICHA: Mkutano wa Chama Kikuu cha Upinzani Msumbiji cha Shambuliwa na Polisi wa Kutuliza Ghasia

The arrival of two cars with officers from the Rapid Intervention Force (FIR) of the Police of the Republic of Mozambique (PRM) interrupted the final rally of the campaign of opposition party MDM in Beira. Photo @Verdade newspaper (CC BY 2.0)

Kuwasili kwa magari mawili na walinzi kutoka kwa Jeshi la Kutuliza Ghasia (FIR) na Polisi wa Jamhuri ya Msumbiji (PRM) kulileta ghasia katika mkutano wa hadhara wa mwisho wa kampeni ya chama cha upinzani cha MDM katika Beira. Picha @Verdade newspaper (CC BY 2.0)

Mkutano wa hadhara wa mwisho kwa kampeni ya umeya wa chama cha upinzani cha MDM katika Beira ulimalizika kwa watu watatu kuuawa na kadhaa kujeruhiwa – waliojeruhiwa ni pamoja na mwana wa mgombea – kufuatia mashambulizi ya polisi wa kutuliza ghasia ambao walitumia mabomu ya kutoa machozi na kufyatua risasi kwa hewa.

Wakati ghasia zinaanza, Meya anayemaliza muda wake Daviz Simango alikuwa anajianda kwenda kwenye jukwaa kutoa wito kwa umati wa watu kupigia kura kwa mara nyingine tena chama kikuu cha upinzani MDM (Mozambique Democratic Movement), ili kishike madaraka ya mji mkubwa wa pili kwa ukubwa nchini Msumbiji, pia mji mkuu wa jimbo la Sofala.

Machafuko katika mji huo wa Beira yalianza Novemba 16, na ya pili siku ya mwisho ya kampeni za uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi wa manisipaa nchini Msumbiji. Uchaguzi utafanyika Novemba 20, 2013. @ Verdade gazeti linakusanya taarifa za kiraia katika tovuti maalum kwa ajili ya uchaguzi.

"Unrest set in and citizens tried to flee in disarray while FIR agents kept shooting. "

Machafuko yalipoanza na wananchi walijaribu kukimbia eneo hilo wakati kikosi cha FIR kikiendelea kufyatua risasi. “Picha kwa hisani ya gazeti @ Verdade kwenye Flickr (CC NA 2.0)

After the attack of the riot police, the crowd started to burn tires in the roads that lead to Beira´s neighborhood of Munhava.

Baada ya mashambulizi ya askari wa kutuliza ghasia, umati ulianza kuchoma matairi katika barabara inayoelekea mji jirani wa Beira Munhava (16/11/2013). Picha kwa niaba ya Miguel Mangueze gazeti la @Verdade (CC BY

1 maoni

jiunge na Mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.