Mwanaharakati wa Kimsiri Nelly Ali anashangaa:
Wakati #Misri iko bize…Upuuzi kama huu uko kwenye makabati yetu ukiharibu maisha yetu "Sabuni ya Ubikira"#wanawake/a> pic.twitter.com/IXplFn2kY7
— Nelly Ali (@nellyali) November 1, 2013
Wakati #Misri iko bize…Upuuzi kama huu uko kwenye makabati yetu ukiharibu maisha yetu Sabuni ya Ubikira
Akimjibu, anamwambia:
@nellyali imekuwa kwenye makabatini kote Uarabuni kama Saudi Arabia na Dubai kwa zaidi ya miaka mitano na vimekuwa na faida sana
— ميس انشييراح (@eb_hab) November 1, 2013
@nellyali imekuwa kwenye makabatini kote Uarabuni kama Saudi Arabia na Dubai kwa zaidi ya miaka mitano na vimekuwa na faida sana
Ni wazi, sabuni ya ubikra ni biashara kubwa katika nchi za Uarabuni.
1 maoni