- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

Kufuatilia Kongamano la Dunia la Demokrasia 2013

Mada za Habari: Ulaya Magharibi, Ufaransa, Harakati za Mtandaoni, Uandishi wa Habari za Kiraia, Utawala, Matangazo

Kongamano la Dunia la Demokrasia [1] kwa sasa linafanyika mjini Strasbourg, Ufaransa kwa mara ya ppili tangu lianze. Kauli mbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “kuunganisha Taasisi na Wananchi katika Kizazi hiki cha dijitali”. Fuatilia mada nne na warsha 21 za mkutano kupitia alama ashiria #CoE_WFD [2]

logo WFD 2013

Alama ya WFD katika Strasbourg 2013 Picha kwa niaba ya Suzanne Lehn