Kongamano la Dunia la Demokrasia [1] kwa sasa linafanyika mjini Strasbourg, Ufaransa kwa mara ya ppili tangu lianze. Kauli mbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “kuunganisha Taasisi na Wananchi katika Kizazi hiki cha dijitali”. Fuatilia mada nne na warsha 21 za mkutano kupitia alama ashiria #CoE_WFD [2].
Kufuatilia Kongamano la Dunia la Demokrasia 2013
· Imeandikwa na Suzanne Lehn Imetafsiriwa na Joyce Maina
Mada za Habari: Ulaya Magharibi, Ufaransa, Harakati za Mtandaoni, Uandishi wa Habari za Kiraia, Utawala, Matangazo