- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

Iran: Mwanablogu Aliyefungwa Jela Ahitaji Huduma ya Matibabu ya Haraka

Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Iran, Haki za Binadamu, Harakati za Mtandaoni, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia, Uhuru wa Kujieleza, Utawala

Mwanablogu aliyefungwa jela,Hossein Ronaghi Maleki [1] anahitaji huduma ya matibabu ya haraka. Alihukumiwa kifungo cha jela cha miaka 15. Laleh alitwiti [2]