- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

“Acheni Unyanyasaji wa ‘Wanachama wa Familia’ za Waandishi wa Habari wa Iran”

Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Iran, Harakati za Mtandaoni, Maandamano, Uandishi wa Habari za Kiraia

Kundi la raia wa mtandaoni wa Iran na wanaharakati waliandika [1] barua ya wazi [2] kwa rais wa Iran Hassan Rouhani na kumtaka kutumia mamlaka yake ya kukomesha unyanyasaji [3]‘wanachama wa familia’ wa waandishi wa habari wa Iran. Zaidi ya watu 100, kutoka ndani na nje ya Iran, walitia saini barua hii ya wazi.

  [4]