22 Novemba 2013

Habari kutoka 22 Novemba 2013

Sera ya Taarifa ya Uwazi Yahitaji Kuboreshwa zaidi Nchini Japan

  22 Novemba 2013

Pamoja na kuwa serikali ya Japan inajitahidi kupiga hatua katika uboreshaji wa sera yake ya uwazi, nchi hii bado ina safari ndefu, kwani imeshika nafasi ya 30 kati ya nchi 70, kwa mujibu wa orodha liyoandaliwa na Asasi ya Ujuzi Huru. Masahiko Shoji wa Asasi ya Ujuzi Huru nchini Japani aandika:...