Habari kutoka 16 Novemba 2013
India: Watu Zaidi ya Milioni 60 Wanaugua Ugojwa wa Kisukari
Ikiwa na watu zaidi ya milioni 60 wanaougua ugojwa wa kisukari [pdf] na wengine wanaokadiriwa kufikia milioni 77 walio katika hatihati ya kuugua ugojwa huu, nchi ya India inajikuta katika vita kali ya kukabiliana na janga la ugonjwa wa kisukari. Katika siku ya ugonjwa wa Kisukari Duniani inayoadhimishwa kila tarehe...
Simulia Hadithi Yako Kupitia Programu ya StoryMaker na Ushinde €1,000
Tumia Programu tumizi ya StoryMaker kusimuliza habari zako na ushindanie zawadi ya €1,000. Hadithi zote zitakazoingizwa kwenye www.storymaker.cc zinakuwa zimeingia kwenye mashindano. Shirika la Free Press Unlimited linatafuta hadithi bora ambayo ingebaki uvunguni bila kuwa na zana hiyo ya simu za mkononi mahususi kwa ajili ya kusimulia.
Mkutano wa Global Voices Cairo, Misri
Mkutano mwingine wa Global Voices unapangwa kufanyika Novemba 16 jijini Cairo, Misri. Tafadhali shiriki na wanachama wetu wa Jumuiya ya GV kwa kusanyiko hili maalumu.