11 Novemba 2013

Habari kutoka 11 Novemba 2013

Matatizo ya Colombia kwa Ukosefu wa Usawa Mijini

  11 Novemba 2013

Taarifa ya utafiti wa hivi karibuni wa Umoja wa Mataifailiyoripotiwa katika El Tiempo, iligundua kwamba Colombia ilikuwa nchi ambayo iliongezeka kwa wingi wa kukosekana kwa usawa wa mijini mwake kwa miongo miwili iliyopita.Bogotá ilikuwa kanda isiyo na usawa kwa mji mkuu. Na kwa miji 13 ya Colombia iliyosomwa na Umoja...

“Maendeleo kwa Akina Nani?” Wa-Guatemala Wapinga Mradi wa umeme wa Maji

  11 Novemba 2013

“Maendeleo kwa ajili ya nani? Je, fedha zitabaki katika jamii? Hapana, inaendelea kujaza mifuko ya wengine, na tutaendelea kuishi katika umaskini. Sisi ni tunacho uliza sasa ni kwa serikali kufuta leseni zote za [madini na umeme wa maji] ambazo zimetolewa.” Katika Upside Down World, Kelsey Alford-Jones, Mkurugenzi Mtendaji wa Tume...

“Nchi” Nzuri ya Afrika

Katika toleo la wikii hii la Brainstorm, jarida la mtandaoni la Kikenya, Brenda Wambui hulaani masimulizi ya sasa kuhusu Afrika: “Afrika ni nchi”, “Afrika inapaa”, ‘”Mitindo ya Kiafrika.” Huchunguza jinsi Wakenya wanavyoweza kukomboa simulizi lao na kujiainisha kwa kuweka masharti yao wenyewe: Kama wenyeji wa Kenya ama nchi nyingine ile,...