Nani ni Muislamu Halisi? -Hatari ya Madhehebu Madogo ya Waislamu Pakistan

Raza Habib Raja wa Pak Tea House ana maoni haya:

‘Kosa’ kubwa nchini Pakistani ni kuwa kile ninachokiita, Muislamu asiye Muislamu. Kwa hiyo hata ukiwa Ahmedi, Shiite, na hata muumini wa Mtakatifu Sufi bado utaitwa Asiye Muislamu na baadhi ya watu.

Hilo linatuleta kwenye swali “nani ni Muislamu?” Raja anaeleza:

Kuuliza swali hili ni hatari na kujaribu kufafanua maana hasa ya Muislamu kunaweza kuwa hakuna maana yoyote na kunaweza kusababisha kutengwa kwa wengi wasiokuwa dhehebu la mtu anayeuliza swali hilo.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.