Ukatili dhidi ya wanawake umezidi kushika kasi nchini India. Mwandishi na mwanablogu Shilpa Garg [1] aweka bayana dondoo za namna ambavyo wanawake wanavyoweza kuchukua tahadhari na kujilinda.
Namna Wanawake Nchini India Wanavyoweza Kujilinda
· Imeandikwa na Rezwan Imetafsiriwa na Albert Kissima
Mada za Habari: Asia ya Kusini, India, Sheria, Uandishi wa Habari za Kiraia, Wanawake na Jinsia