Mwenendo wa Mashitaka ya Wanasiasa wa Kenya Mjini Hague

Mashitaka ya Kenya Hague ni mradi wa Dawati la Afrika la Radio Netherlands Worldwide kwa ushirikiano na This is Africa (Hii ni Afrika):

Namna gani ghasia za baada ya uchaguzi nchini Kenya mwaka 2007 na 2008 ziliathiri maisha yako? Unataka kufahamu nini kuhusu haki ya kimataifa? Changia habari ulizonazo, mawazo na maswali hapa, kupitia barua pepe (africa@rnw.nl), kwenye mtandao wa Facebook au Twita kwa alamahabari #HagueTrials.
Makala bora, blogu, video, picha na katuni zitachapishwa. Jisikie huru kuonyesha kama usingependa jina lako lijulikane.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.