- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

#EauSecours: AlamaHabari ya Kufanyia Mzaha Tatizo la Maji Dakar, Senegal

Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Senegali, Afya, Harakati za Mtandaoni, Maandamano, Mazingira, Uandishi wa Habari za Kiraia, Vichekesho

Dakar, mji kuu wa Senegal, umekumbwa na uhaba wa maji kwa siku 15 zilizopita [1] [fr]. Wa-Senegali katika mitandao ya kijamii wanazoea tatizo hili kwa kufanyiana utani na uvumilivu. AlamaHabari (Hashtag) #eausecours [2] (#H2OUT) inatumika hivi sasa kwneye mtandao wa twita na  Facebook kutaniana kuhusiana na ukosefu wa maji safi unaoendelea, kama ilivyoonekana kwenye twiti hii :  

Ninawahisi jamaa zangu wote