Habari kutoka 8 Oktoba 2013
Jieleze:Siku ya Blogu kwa Haki za Raia!
Octoba 16 ni Siku ya Blogu. Jiunge na wanablogu duniani kote kuzungumzia mada ya mwaka huu: Haki za Binadamu.
Zambia: Ukurasa wa Facebook wa Mke wa Rais wa Zamani Waghushiwa kwa Utapeli wa Ufadhili wa Masomo
Yeye si mtu maarufu nchini Zambia waliowahi kukuta akaunti bandia zikifunguliwa kwa majina yao. Ukurasa bandia wa Facebook kwa jina makamu wa rais wa nchi hiyo ilifunguliwa hivi karibuni.