Habari kutoka 5 Oktoba 2013
Rafiki Yangu Anateswa kwa Ku-blogu
Safy ni mtu wa kawaida aliyewahi kufanya kazi kama afisa wa Teknohama mpaka aliposhuhudia rafiki yake akipigwa risasi na polisi wa kutuliza ghasia wakati wa majuma ya mwanzo ya mapinduzi. Hakuweza kuendelea kuwa "mtu wa kawaida" baada ya tukio hilo.
Maandamano ya Wapinzani na wafuasi wa Jeshi Yaandaliwa Katika Viwanja vya Tahrir
Kwenye mtandao wa Twitter, Nancy anauliza kama chama cha FJP cha Muslim Brotherhoodhad kiemtumia bango lililotumika kwenye filamu ya Vita ya Dunia Z: Simulizi la Historia ya Vita ya Zombie, katika kuitisha maandamano yanayopangwa kuwa Oktoba 6: Did the #FjP wametumia bango la Vita ya Dunia Z kuitisha maandamano ya...
GV Face: Wanawake Nchi Saudi Arabia Wanuia Kuendesha
Katika toleo la GV Face wiki hii, tunakutana na mwanablogu wa Jeddah na mwandishi Tamador Alyami anayeunga mkono kampeni ya #WanawakeWataendesha, Hadeel Mohammed, Mwandishi wetu wa Saudia anayeishi Dammam na Mhariri wetu wa Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini Amira Al Hussaini