Vikosi vya usalama vya Iraq vilifanya “mauaji” ya wapinzani wa Iran [1] wapatao 52 ambao hata hivyo hawakuwa na silaha asubuhi ya Jumapili ndani ya kambi yao kaskazini mwa Baghdad, mujahedeen-e-Khalq [2], wafungwa wa Iran walisema. Netizens in Balatarin, tovuti maarufu ya kusambaza habarii, iliweka [3]picha kadhaa, filamu na posti kuhusiana na shambulio hilo.
Iran: “Mauaji” ya Wapinzani wa Iran 52 Wasiokuwa na Silaha
· Imeandikwa na Farid Imetafsiriwa na Joyce Maina
Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Iran, Iraq, Haki za Binadamu, Maandamano, Mahusiano ya Kimataifa, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia, Utawala