Shirika la Habari la Andina limearifu [1] [es] siku ya Jumamosi, Septemba 21, 2013, kwamba daktari wa ki-Peru Juan Jesús Ortiz ni mmoja wa watu waliuawa katika shambulizi la kigaidi lililotokea katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, lilisababisha idadi ya vifo vya watu 59 [2] na wengine 175 wakijeruhiwa.
Hivi ndivyo Periodismo en Línea alivyotwiti habari hizo:
Médico peruano entre los fallecidos por atentado terrorista en Kenia: Cancillería confirma que Juan Jesús Ortiz… http://t.co/qdqi6Vqbke [3]
— Periodismo en Línea (@periodismoperu) September 22, 2013 [4]
Daktari wa ki-Peru ni mmoja wa wahanga waliopoteza maisha katika shambulio la kigaidi lilitokea Kenya: Wizara ya Mambo ya Kigeni imethibitisha kwamba Juan Jesús Ortiz…