Kikundi cha kigaidi cha Naijeria Boko Haram kimewawasha moto bwenini na kuwaua wanafunzi wasiopungua 50 [1] wa Chuo Kikuu cha Kilimo kilichopo kwenye Jimbo la Yobe, wakiwa usingizini. Rais Goodluck Jonathan alitangaza hali ya hatari katika eneo hilo kufuatia mfululizo wa vitendo vya kigaidi.
Boko Haram Waua Wanafunzi 50 wa Chuo Kikuu Nchini Naijeria
· Imeandikwa na Mghosya
Mada za Habari: Naijeria, Habari za Hivi Punde, Vita na Migogoro