Wanaharakati wa Hongkong Walaani Mauaji ya Halaiki Mjini Cairo
Leo, kundi la wanaharakati wa Hong Kong kutoka Chama cha Demokrasia na Ujamaa (LSDS) waliandamana nje ya ubalozi wa Misri na kulilaani jeshi kwa mauaji ya halaiki mnamo Agosti 14 mjini Cairo. Picha kutoka kwa inmediahk.net.