Wanaharakati wa Hongkong Walaani Mauaji ya Halaiki Mjini Cairo August 19th, 10:16am August 24th, 10:22am Oiwan Lam Joyce Maina Asia Mashariki Leo, kundi la wanaharakati wa Hong Kong kutoka Chama cha Demokrasia na Ujamaa (LSDS) waliandamana nje ya ubalozi wa Misri na kulilaani jeshi kwa mauaji ya halaiki mnamo Agosti 14 mjini Cairo. Picha kutoka kwa inmediahk.net.