- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

Serikali ya Uzbeki Yatafuta Namna ya Kudhibiti Wanablogu

Mada za Habari: Asia ya Kati, Uzbekistan, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia

Serikali nchini Uzbekistan inatafuta namna ya kutumia hatua kali za kudhibiti wanablogu wa nchi hiyo. Alisher Abdugofurov kwenye Registan.net anajadili [1] sababu ya kutokea hali hii katika jamii ambayo haina wanablogu wengi wa kuanzia zoezi hilo.