Habari kutoka 15 Julai 2013
Tanzania: Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Arusha Waipa CHADEMA Ushindi
Uchaguzi mdogo wa Madiwani Jijini Arusha umefanyika kwa amani leo Jumapili Julai 14. Mtandao maarufu wa Jamii Forums uliripoti yanayoendelea Arusha wakati wote na baada ya uchaguzi. Blogu ya Wavuti...
Iran: Je, Ufunguo wa Rais Mpya “Utafungua” Tatizo Lolote?
Alama ya kampeni za Rouhani ilikuwa ni Ufunguo. Kwa sasa, raia wa mtandaoni wa Iran wanajadili kama Rouhani ataweza kufungua kila kifungio.