Habari kutoka 13 Julai 2013
Wakazi wa Jiangmen Nchini China Wapinga Ujenzi wa Mtambo wa Uranium
Siku ya tarehe 12 Julai, 2013, mamia kadhaa ya wakazi wa Jiangmen, jiji lililo jirani na Guangzhou ya Kusini nchini China, walifurika mtaani na kuandamana kupinga mpango wa kuanzisha mtambo wa kuchakata Urani.