Habari kutoka 7 Julai 2013
Benin: Kampeni ya Kusaka Wahalifu Yawagawa Wananchi
Ikiwa imezinduliwa na wizara ya Mambo ya Ndani, Ulinzi wa Umma na Dini, kampeni ya Djakpata yenye lengo la kuwasaka wahalifu wote wanaojihusisha na shughuli zisizo halali ambazo zinaweza kuhatarisha hali ya utulivu ya wananchi wa Benin. Hata hivyo, kwa siku chache zilizopita, wananchi wamekuwa na maoni tofauti sana kuhusu jambo hili.
Rais wa Zamani wa Misri Morsi Aibukia Kwenye Mtandao wa Twita
Rais Mohamed Morsi si rais tena wa Misri. Badala yake, ameibukia kwenye mtandao wa twita kupitia anuani yake iliyothibitishwa ya @EgyPresidency.
Misri yasema: “HAYAKUWA mapinduzi ya kijeshi”
Hatua ya Marekani kuingilia masuala ya ndani ya Misri - habari zinazotangazwa mashirika ya habari, hususani CNN, kuhusu siasa zinavyoendelea Misri - zilikumbana na moto jana usiku. Kung'olewa kwa rais wa zamani wa Misri Mohamed Morsi baada ya kudumu kwa kipindi cha mwaka mmoja tu madarakani kuliamsha shamra shamra nchi nzima, pamoja na vurugu kati ya wafuasi na wapinzani wa Morsi.