Wanaharakati thelathini na sita wa Azeri akiwamo mwanablogu mmoja, Kiaksar, walikamatwa [1] siku ya Alhamisi, 27 Juni katika eneo la Urmia [2]. Vikosi vya usalama viliwaachilia huru wanaharakati hao 300 baada ya kuwahoji kwa masaa kadhaa.
Wanaharakati 36 wa Azeri Wakamatwa nchini Iran
· Imeandikwa na Farid Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Iran, Haki za Binadamu, Uandishi wa Habari za Kiraia, Utawala