Sauti za Iran [1] ni mradi ulioundwa kwa kutumia mafanikio ya mradi wa Ushahidi [2]. Sauti za Iran inakusudia kuripoti habari kuhusu miji midogo na vijiji vya Iran na vile vile kukusanya maombi na matatizo ya wananchi na kuyatuma kwa serikali na wabunge.
‘Sauti za Iran’ Mradi Unaowapa Sauti Raia Waishio Vijijini
· Imeandikwa na Farid Imetafsiriwa na Joyce Maina
Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Iran, Harakati za Mtandaoni, Uandishi wa Habari za Kiraia