Rais wa kwanza wa Marekani mwenye asili ya Afrika, Barack Obama [1]anatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam kesho alasiri kwa ziara ya kiserikali. Blogu ya Swahili Time imeweka ratiba ya ziara hiyo ya siku mbili [2]. Issa Michuzi aliweka video [3] inayomwonesha Rais Kikwete [4] wa Tanzania akizungumzia ziara hiyo.
Rais Obama Kuitembelea Tanzania
· Imeandikwa na Mghosya
Mada za Habari: Marekani, Tanzania, Mahusiano ya Kimataifa, Uandishi wa Habari za Kiraia