Hivi Bado Tunaye Rais Nchini Madagaska?

Patrick Rajoelina anahoji [fr] kisheria, ikiwa rais wa mpito Andry Rajoelina bado anataka kugombea katika uchaguzi ujao wa raia nchini Madagaska, basi hatakuwa na sifa tena za kuwa rais, kwa mujibu wa makubaliano yaliyotiwa saini na vyama vyote vya nchi hiyo mwaka 2011. Waziri Mkuu wa sasa Beriziky alitoa tamko tarehe 30 Mei [fr] kwamba Andry Rajoelina hana sifa tena ya kuendelea kushiriki vikao vya serikali kwa sababu alipaswa tayari awe ameshajiuzulu nafasi yake.

1 maoni

jiunge na Mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.