13 Juni 2013

Habari kutoka 13 Juni 2013

Athari za Mazingira kwa Uchimbaji Madini Nchini Indonesia

  13 Juni 2013

Makala iliyochapishwa katika mtandao wa mongabay.com imefichua athari za uharibifu wa kimazingira ziazotokana na shughuli za uchimbaji madini katika maeneo ya vijiji nchini Indonesia. Baadhi ya wanazuoni wanahofia kwamba maeneo mengi nchini Indonesia yana kiwango cha juu kabisa cha zebaki duniani.