5 Juni 2013

Habari kutoka 5 Juni 2013

Mradi wa Kumbukumbu za Kihistoria Nchini Singapore

  5 Juni 2013

Ukiwa umeanzishwa mwaka  wa 2011, Mradi wa Kumbukumbu za Singapore unalenga “kukusanya, kuhifadhi na kuhakikishia upatikanaji” wa historia ya Singapore. Zaidi ya hayo, “ina lengo la kutengeneza mkusanyiko wa maudhui ya taifa ikiwa ni pamoja na maandiko, kanda za sauti na video kwa ajili ya kuzihifadhi  katika mfumo wa kidijitali, na kuzifanya...