2 Juni 2013

Habari kutoka 2 Juni 2013

Hivi Bado Tunaye Rais Nchini Madagaska?

Patrick Rajoelina anahoji [fr] kisheria, ikiwa rais wa mpito Andry Rajoelina bado anataka kugombea katika uchaguzi ujao wa raia nchini Madagaska, basi hatakuwa na sifa tena za kuwa rais, kwa mujibu wa makubaliano yaliyotiwa saini na vyama vyote vya nchi hiyo mwaka 2011. Waziri Mkuu wa sasa Beriziky alitoa tamko tarehe...