- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

Rais wa Chama cha Madaktari Msumbiji Akamatwa

Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Msumbiji, Afya, Habari za Hivi Punde, Haki za Binadamu, Maandamano, Uandishi wa Habari za Kiraia, Uhuru wa Kujieleza

Baada ya mgomo wa madaktari [1] uliodumu kwa takribani juma moja nchini Msumbuji, Dr. Jorge Arroz, Rais wa Associação Médica de Moçambique [2], amekamatwa usiku wa Jumapili, Mei 26, 2013, kwa tuhuma za “uchochezi [3]” (kuhamasisha watu kutokuridhishwa au kuiasi serikali). Kwenye mtandao wa Twita na Facebook, @verdademz [4], @canal_moz [5] na ripoti nyingine za watumiaji wa mitandaoni.

"Manu many health professionals here in the 6th police station of Maputo. Dr. Jorge Arroz is under arrest. Photo by @Verdade newspaper (used with permission) [6]

“Watumishi wengi wa idara ya afya wakiwa katika kituo cha Polisi mjini Maputo. Dr. Jorge Arroz amekamatwa. Picha kwa hisani ya @Verdade (imetumiwa kwa ruhusa)